Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Verse1
Maadui wamenizingira Pande zote
sina msaada msaada wangu utatoka wapi
msaada wangu ooh
Ni katika bwanaa
msaada wangu utatoka waapi
msaada wangu ooh
Ni katika bwanaa
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Verse 2
Maana maisha yangu yamekoma kwa huzuni
Na miaka yangu kwa kuugua
Lakini mimi nakutumaini wewe
nyakati zangu zote zipo mikononi mwako
Lakini mimi nakutumaini wewe nakukabidhi
Moyo wangu Leoooo
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Without Music
Nalia machozi nikisema wewe ni Mungu
Hakuna mwingine kama wewe
Utendaye ni wewe pekee oooooh
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
Nimekukimbilia wewe bwana nisiaibike milele
No comments:
Post a Comment